Tamasha la Kitaifa la muziki laingia siku ya tatu Mombasa
6th August, 2014
Tamasha la kitaifa la miziki kwa shule za humu nchini limeingia siku ya tatu mjini mombasa huku idara ya usalama ikisema kuwa zaidi ya maafisa wa polisi 300 wanashiriki katika kuimarisha usalama wakati wa tamasha hilo. na jinsi john juma anavyoripoti kando na mashindano, burudani na maudhui makuu pia yanajitokeza mfano kupiga vita ugaidi, kukuza maadili na upatanisho wa jamii.