Wakala wa wanamichezo wa Siera Leone waliokua humu nchini azungumzia kuhusu hofu ya Ebola
3rd August, 2014
Ugonjwa wa Ebola umezua taharuki kubwa katika bara la Africa hususan katika mataifa ya magharibi mwa Africa. Taifa la Kenya halijasazwa kwenye hofu hii ni baada ya wachezaji kutoka taifa la sierra Leone kusalia humu nchini baada taifa la ushelisheli walikokuwa wakielekea kwa michuano ya mashindano ya bara Africa kukataa kuwapokea. Hussein Mohammed na maelezo zaidi kuhusu usiri mkubwa uliokuwepo kwa muda wa siku mbili tangu kuwasili na hata kuondoka kwa timu hiyo