×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Msichana wa miaka kumi na miwili ajifungua mtoto Uasin Gishu

10th June, 2014

Msichana mmoja mwenye umri wa miaka kumi na miwili amejifungua mtoto katika kijiji cha Chelabal kaunti ya Uasin Gishu. Mtoto huyo anadaiwa kuwa na uhusiano na kijana mwenye umri wa miaka 18 na kupachikwa mimba bila kujua. Kwa sasa familia yake inataka mhusika wa mimba hiyo kuchukuliwa hatua
.
RELATED VIDEOS