Msichana wa miaka kumi na miwili ajifungua mtoto Uasin Gishu
10th June, 2014
Msichana mmoja mwenye umri wa miaka kumi na miwili amejifungua mtoto katika kijiji cha Chelabal kaunti ya Uasin Gishu. Mtoto huyo anadaiwa kuwa na uhusiano na kijana mwenye umri wa miaka 18 na kupachikwa mimba bila kujua. Kwa sasa familia yake inataka mhusika wa mimba hiyo kuchukuliwa hatua