×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: corporate@standardmedia.co.ke
Premium

Papa Benedict XVI amezikwa

News

Aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Benedict wa kumi na sita amezikwa.

Papa Benedict amezikwa baada ya misa iliyoongozwa na Kiongozi wa Sasa wa Kanisa hilo, Papa Francis na imefanyika katika Kanisa la St. Peters Squire, Vatican.

Maelfu ya watu waliohudhuria mazishi hayo ni wakiwamo viongozi mashuhuri kutoka familia za kifalme kote Uropa kama vile Uingereza, Uhuspania, Ujerumani na Ureno....

Related Topics


.

Popular this week