April this year, Rajab Abdul Kahali popularly known as Harmonize announced that he was set to build one of the best houses in Tanzania.
“Nasema ukweli mimi nyumba yangu ikiisha, nyumba ninayo jenga mimi sijui nitakuwa msanii wa pili wa Dar es Salaam au Tanzania kuwa na nyumba kali, ya kwanza ni Diamond ambayo nayo haijaisha ila ipo katika hatua za mwisho,” said Harmonize in an interview a while back.