×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

‘Punguza Mzigo’ ni adui wa maendeleo: Wabunge

Seneta wa Nyamira Eric Okong'o O'Mogeni (kushoto) na mbunge wa North Mugirango Joash Nyamoko. Nyamoko ni moja wa wabunge waliotoa kauli kuhusu mswada wa Punguza Mizigo. [Standard]

Wabunge 10 kutoka majimbo ya Kisii, Nyamira na Migori wamesema kuwa mswada wa punguza mizigo unaopigiwa Debe na Dkt Ekuru Aukot hautafanikiwa kwa maana una nia ya kuchukua mamlaka kutoka kwa Wakenya. Wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kongamano la Wabunge wa Gusii Joash Nyamoko, wabunge waliokuwa wakizungumza wakati wa mchango wa makanisa 10 katika eneo bunge la Bonchari, Kisii walisema mswada huo haustahili kuwepo kwa sasa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902