The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Seneta wa Nyamira Eric Okong'o O'Mogeni (kushoto) na mbunge wa North Mugirango Joash Nyamoko. Nyamoko ni moja wa wabunge waliotoa kauli kuhusu mswada wa Punguza Mizigo. [Standard]
Wabunge 10 kutoka majimbo ya Kisii, Nyamira na Migori wamesema kuwa mswada wa punguza mizigo unaopigiwa Debe na Dkt Ekuru Aukot hautafanikiwa kwa maana una nia ya kuchukua mamlaka kutoka kwa Wakenya. Wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kongamano la Wabunge wa Gusii Joash Nyamoko, wabunge waliokuwa wakizungumza wakati wa mchango wa makanisa 10 katika eneo bunge la Bonchari, Kisii walisema mswada huo haustahili kuwepo kwa sasa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.