Baadhi ya wakazi wa Kaunti ya Kakamega kwa upande wao wamelalamikia kutelekezwa na serikali ya Kitaifa kwa upande wa miradi ya maendeleo.
Wakiongozwa na Boaz Shikuku wamesema miradi ya Serikali ya kitaifa inatekelezwa kwa mapendeleo ikiegemea upande mmoja huku eneo la Magharibi likitelekezwa.