×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mtalaa wa Umilisi, CBC kukumbwa na changamoto zaidi

Mtalaa wa Umilisi, CBC unatarajiwa kukumbwa na changamoto hata zaidi baada ya walimu wakuu wa shule za upili kudai kwamba hawajahusishwa katika utekelezaji wake.

Akizungumza wakati wa Kongamano la 44 la Walimu Wakuu linaloendelea jijini Mombasa, Mwenyekiti wa Muungano wa Walimu Wakuu wa Shule za Upili, KESSHA Kahi Indimuli amesema walimu katika shule za upili hawana ufahamu kuhusu mtalaa huo mpya. Indimuli amesema serikali inapaswa kutoa mwanga wa iwapo mtalaa huo utatekelezwa katika shule za msingi pekee au hata upili.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics