Kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoki katika mahojiano na wanahabari wa the Standard katika nyumbani mwake Karen,Nairobi [Picha: Elvis Ogina.Standard]
Kalonzo Musyoka ataendelea kufuta madirisha na milango ya siasa nchini hadi atakapoacha kushiba na mkoa mashariki alikozaliwa na kuanza kuchangamkia kura na radhi bwerere za magharibi na mwambao wa Kenya – jambo ambalo halitatokea kwenye uhai wa Jamhuri hii labda paka azae na kunguru.