×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Naibu Jaji Mkuu, Philomena Mwilu apata afueni mahakamani

Kesi dhidi ya Naibu Jaji Mkuu, Philomena Mwilu katika Mahakama ya Milimani imesitishwa kuambatana na agizo la Mahakama Kuu. Hakimu Lawrence Mugambi ametoa uamuzi huo baada ya kupokezwa maagizo sahihi kutoka kwa Jaji Chacha Mwita wa Mahakama Kuu baada ya kurekebisha dosari zilizokuwapo katika agizo la kwanza.

 Hakimu Mugambi hata hivyo amesema kikao kingine kitaandaliwa Oktoba 22 wakati mahakama itakapofahamishwa kuhusu yaliyoafikiwa katika Mahakama Kuu ambapo Jaji Mwilu amewasilisha kesi kupinga kushtakiwa kwake katika mahakama ya hadhi ya chini vilevile kuishtaki ofisi ya DPP na ile ya DCI kwa misingi ya kulenga kumdhalilisha.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Mwilu Mugambi