×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Kenyatta apinga kuishirikisha kampuni ya Cambridge Analytica katika kampeni zake

Rais Uhuru Kenyatta amepinga vikali kuwa na uhusiano wowote na kampuni ya Uingereza ya Cambridge Analytica inayodaiwa kuednesha kampeni zake wakati wa uchaguzi wa mwaka 2013 na 2017.

Akihojiwa na shirika la habari la CNN, Rais amesema kuwa hana ufahamu wowote wa kushirikiana na kampuni hiyo kauli inayonekana kukinzana na matamshi na mmoja wa viongozi wa Jubilee David Murathe aliyesema kuwa walishirikiana na kampuni hiyo kubadilisha taswira ya chama hicho.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902