Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Bunge la Kitaifa linaanza kuwapiga msasa Mawaziri walioteuliwa na Rais William Ruto, katika Baraza jipya alilotangaza. Hii ni fursa adimu kwa Bunge kutekeleza wajibu wake wa Kikatiba na kuonesha kuwa ni taasisi huru na inayojisimamia bila kushurutishwa na Serikali tendaji. Hii ni fursa ya Bunge kusafisha jina lake ambalo limekuwa si lolote la kujivunia.

Share this episode
The Waweru's Love Story
Welcome to today’s episode of The Love Story podcast. Kamau and Margaret Waweru share their journe...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS