Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Sepetuko
Jul. 31, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Bunge la Kitaifa linaanza kuwapiga msasa Mawaziri walioteuliwa na Rais William Ruto, katika Baraza jipya alilotangaza. Hii ni fursa adimu kwa Bunge kutekeleza wajibu wake wa Kikatiba na kuonesha kuwa ni taasisi huru na inayojisimamia bila kushurutishwa na Serikali tendaji. Hii ni fursa ya Bunge kusafisha jina lake ambalo limekuwa si lolote la kujivunia.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Share this episode